a.alakum mm nimeota wamekuja wageni wengi wanafuraha sana na niwageni wanawake matajiri na niwatu maarufu wamekuja kuniposa na qamenipa zawadi ya pesa ila mwanamme ambae ameniposa ni mtu ambae aliniahid ndowa ila hajaniowa na mimi nimliamuwa kukaa nae mbali kwa sababu sitaki zinaaa na huyo mwanamme katika ndoto aliongea maneno hayo na ndugu yangu wakiume ambae ni walii wangu na alimtamkia mimi nakuja kumuoa dada ako siku ya ijumapili je ndoto hii